Kembo

Kembo

Khadja Nin

unaniaca unaenda tena
nabaki apa mimi peke yangu
watoto, watoto wanaliya
usiende…
kembo, kembo, kembo…

watoto wanaliya…wewe
“napashwa”
wandugu wanaliya…
ni wewe
“napashwa”
ata mama yako analiya
“napashwa”
mimi bibi yako naliya
usiende na sorrow
nitangoja…kembo.

“usiende na sorrow
tutangoja”

usiende na sorrow
tutangoja…kembo.

watoto wanaliya…hood !!!
“unapashwa”
wandugu wanaliya…hood !!!
“unapashwa”
ata mama yako analiya
“unapashwa”
mimi bibi yako naliya
usiende na sorrow
nitangoja…
kembo… kembo…kembo…

Damu ya salaam

Comentarios

Deja tu comentario:

Artistas más populares

Top artistas del momento

Reportar letra